a
Rum 3:21
;
Flp 3:9
;
Hab 2:4
Romans 1:17
17
a
Kwa maana katika Injili haki itokayo kwa Mungu imedhihirishwa, haki ile iliyo kwa njia ya imani hadi imani. Kama ilivyoandikwa: “Mwenye haki ataishi kwa imani.”
Ghadhabu Ya Mungu Kwa Wanadamu
Copyright information for
SwhKC